SERIKALI YATANGAZA TAHASUSI MPYA KWA KIDATO CHA TANO (+VIDEO)
Taarifa muhimu kwa Wanafunzi waliomaliza Kidato cha Nne, mwaka 2020 Waziri Jafo ametangaza utaratibu wa wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka 2020 kubadilisha Tahasusi(Combination) za Kidato cha Tano na Kozi za Vyuo vya Elimu ya Ufundi kwa njia ya mtandao kwenye mfumo wa Kieletroniki wa uchaguzi wa Kidato cha Tano na vyuo mwaka 2021. Amesema
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed